Audio Bible Swahili offline. Swahili Bible free. 3.1.1036

3

Pro hodnocení programu se prosím nejprve přihlaste

Staženo
0 ×
Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa ya Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία (biblia) ina maana ya "vitabu" ikiwa ni wingi wa βιβλος (biblos). Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.

Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".

Kuchagua kitabu kusikiliza:

AGANO LA KALE
AGANO JIPYA
  • Verze programu

    3.1.1036

  • Poslední aktualizace od vývojáře

    23. 12. 2019

  • Počet stažení za měsíc

    0 ×

  • Velikost

    6,6 MB

  • Potřeba instalace:

    Ne

  • Web autora

    LOVDIV - Audio Religious Books Free

Zobrazit více
Přejít do Google Play
Zdarma

Sdílet

TIP: Stahují se vám programy pomalu? Změřte si rychlost svého internetového připojení.